Mimi ni Simba damu.....
wewe kama unaona kupeleka wachezaji mwananyamala hospital ni sawa..haya
mimi naona kwa ukubwa wa timu ya Simba hata kama Mo hajapewa timu
wachezaji wanapaswa kuwa na insuarance ya matibabu ya hospitali yoyote ile Tz...
wachague wenyewe....sio kwenda kugombea vitanda huko mwananyamala hospital