mlowe huyo. Anatufuata dorm tunacheza drafti badala ya kutukamata anauliza hamujambo!! Ah watu nduki ndovu!!
badoanatamba ila amebadili mabasi sio dcm tenanatumia simu mara nyingi hivyo notification mpaka kwa laptop; duh mkuu ina maana bado usafiri kule ni wa shida, hivyo chaula maji bado anatamba!
Nilikua nikilala guest moja inaitwa Magazeti,enzi hizo inaanzishwa 2002-2003 ilikua inavuma sana kwa vyakula na vinywaji. Nakumbuka supermarket ya Mama Widambe pale tanwat njiapanda ya Lupembe nilikua nanunua mahitaji sijui kama bado ipo au la!
Matembwe,isoliwaya,talimanda,