bei zinatofautiana kulinganana mota, ila nyingi hasa za umeme unaweza pata kwanzia M moja na inakuwa nzuri , ila ya mkono unaweza pata hata kwa laki 4,unaweza pata hapo sido, kariakoo kul wanakotengeneza vifaa vya chuma, na maeneo mengine mengi
bei zinatofautiana kulinganana mota, ila nyingi hasa za umeme unaweza pata kwanzia M moja na inakuwa nzuri , ila ya mkono unaweza pata hata kwa laki 4,unaweza pata hapo sido, kariakoo kul wanakotengeneza vifaa vya chuma, na maeneo mengine mengi