RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 40
Jamnieee, unaweza kuamini bei ya kilo moja ya gas ni shs 3500/= na inapanda kila siku, sasa hawa ewura ( kwa lugha yetu inamaanisha "MKOSAJI") wanaregulate ktk petrolleum liquid peke yake? vipi hii gas ambayo tunategemea iokoe mazingira yetu siwasikii wakisema lolote?i! Bei inakuwa inapanda kwa almost 9.5% kila ikichange! sasa tunaenda wapi? nani anaregulate gas prices? namtafuta Masebu9hope ndo wa Ewura huyu) anielezee hili, sasa ilobaki ni kuiba umeme tusemei! kama penye unafuu ndo wanazidi kukazia kamba! nshachoka na nchi yangu to the maximum! kila kitu kinakua kasoro income inazidi kuwa dwarf!