Bei ya toyo guta

Bei ya toyo guta

Ntiliabhose

Member
Joined
Dec 31, 2012
Posts
78
Reaction score
38
Habari wanajamvi,nahitaji msaadawenu wa mawazo,kwa anaejua bei ya hizi toyo za miguu mi3 kwa ajiri ya kubebea mizigo zinauzwaje?na wazoefu wa biashara hii ukimkabidhi mtu anakupatia shimgap kwa siku?
 
Na mimi nasubiri jibu hapa. Mwenye kujua chochote plz atoe mchango wake
 
Back
Top Bottom