Habari wanajamvi,nahitaji msaadawenu wa mawazo,kwa anaejua bei ya hizi toyo za miguu mi3 kwa ajiri ya kubebea mizigo zinauzwaje?na wazoefu wa biashara hii ukimkabidhi mtu anakupatia shimgap kwa siku?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.