Tuition? Hii biashara siipendi ila basi tu. Walimu wanashindwa kufanya kazi yao kiusahihi eti wanafunzi waende twisheni badala ya kuwapa muda wa kupumzika na kutafakari walichojifunza. Anyway this is Tz ila waambie walimu wa tuisheni watoe risiti....
Tuition? Hii biashara siipendi ila basi tu. Walimu wanashindwa kufanya kazi yao kiusahihi eti wanafunzi waende twisheni badala ya kuwapa muda wa kupumzika na kutafakari walichojifunza. Anyway this is Tz ila waambie walimu wa tuisheni watoe risiti....
mechanics na physical chemistry tumetumia miezi mitatu kusoma mchikichini kwa moudy physics na Unga na kufundishwa tena hadi mwakani labda private na sijui kama una hela ya kulipa
Tuition? Hii biashara siipendi ila basi tu. Walimu wanashindwa kufanya kazi yao kiusahihi eti wanafunzi waende twisheni badala ya kuwapa muda wa kupumzika na kutafakari walichojifunza. Anyway this is Tz ila waambie walimu wa tuisheni watoe risiti....
mechanics na physical chemistry tumetumia miezi mitatu kusoma mchikichini kwa moudy physics na Unga na kufundishwa tena hadi mwakani labda private na sijui kama una hela ya kulipa
Tuition? Hii biashara siipendi ila basi tu. Walimu wanashindwa kufanya kazi yao kiusahihi eti wanafunzi waende twisheni badala ya kuwapa muda wa kupumzika na kutafakari walichojifunza. Anyway this is Tz ila waambie walimu wa tuisheni watoe risiti....
PCM, PCB kidogo CBG huna muda wa kupumzika na kutafakari, kwa shule zetu hizi za kajamba nani unaweza ukajikuta mnamaliza mwaka hata mechanics + Heat hamjamaliza.