Habari za mida hii waheshimiwa,naomba nipate kujua bei ya projector,iwe kama zipo za aina mbalimbali,nijue bei ya kila aina,kutoka dukani au kwa mtu.nawakilisha wakuu
kama hautakuwa na haraka hadi july mimi nikuchukulie Epson EB-S9 LCD kwa shillingi 900000 just cheki specification zake kwa google kama utaipenda ni pm
kama hautakuwa na haraka hadi july mimi nikuchukulie Epson EB-S9 LCD kwa shillingi 900000 just cheki specification zake kwa google kama utaipenda ni pm