mapunda b JF-Expert Member Joined Feb 8, 2013 Posts 418 Reaction score 19 Apr 22, 2013 #1 naomba anayefaham bei ya nokia n900 kwa hapa tz na wap znapatkana kwa urahis nawasilisha.....
mapunda b JF-Expert Member Joined Feb 8, 2013 Posts 418 Reaction score 19 Apr 23, 2013 Thread starter #2 mapunda b said: naomba anayefaham bei ya nokia n900 kwa hapa tz na wap znapatkana kwa urahis nawasilisha..... Click to expand... anayefaham anisaidie jaman*
mapunda b said: naomba anayefaham bei ya nokia n900 kwa hapa tz na wap znapatkana kwa urahis nawasilisha..... Click to expand... anayefaham anisaidie jaman*
Ngongoseke JF-Expert Member Joined Jan 1, 2012 Posts 3,202 Reaction score 1,464 Apr 23, 2013 #3 mapunda b said: naomba anayefaham bei ya nokia n900 kwa hapa tz na wap znapatkana kwa urahis nawasilisha..... Click to expand... Mkuu nlikuwa nayo hiyo kama miezi 6 imepita nlimgawia jamaa yangu ilinishinda kutumia,ila kwa tz sina hakika kama utapata labda agiza nje
mapunda b said: naomba anayefaham bei ya nokia n900 kwa hapa tz na wap znapatkana kwa urahis nawasilisha..... Click to expand... Mkuu nlikuwa nayo hiyo kama miezi 6 imepita nlimgawia jamaa yangu ilinishinda kutumia,ila kwa tz sina hakika kama utapata labda agiza nje
mapunda b JF-Expert Member Joined Feb 8, 2013 Posts 418 Reaction score 19 Apr 24, 2013 Thread starter #4 Ngongoseke said: Mkuu nlikuwa nayo hiyo kama miezi 6 imepita nlimgawia jamaa yangu ilinishinda kutumia,ila kwa tz sina hakika kama utapata labda agiza nje Click to expand... duh kumbe eeh.... So kwa bongo n ngumu sana sa bei yake inakua ipi naomba unijuze
Ngongoseke said: Mkuu nlikuwa nayo hiyo kama miezi 6 imepita nlimgawia jamaa yangu ilinishinda kutumia,ila kwa tz sina hakika kama utapata labda agiza nje Click to expand... duh kumbe eeh.... So kwa bongo n ngumu sana sa bei yake inakua ipi naomba unijuze
Medical Dictionary JF-Expert Member Joined Mar 12, 2012 Posts 1,060 Reaction score 309 Apr 25, 2013 #5 mkuu sikushauri kununua hyo maana hela utakayo toa ungeweza kupata simu kali zaidi kwa bei chini ya hiyo nichek hapa 0715425054
mkuu sikushauri kununua hyo maana hela utakayo toa ungeweza kupata simu kali zaidi kwa bei chini ya hiyo nichek hapa 0715425054