Bei ya Mkate Zimbabwe

LeopoldByongje

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2008
Posts
372
Reaction score
14

Mtoto akiwa na Maburungutu ya Zim Dola akienda dukani kununua Mkate mjini Harare
 
nasi hatuna muda mrefu tutakuwa kama wao, unakodi bajaji kubebea pesa za kwenda saluni kunyoa kwa wakaka au kuset nywelw kwa madada
 
Hayo ni mambo ya kawaida sana hasa kwa nchi zetu za kiafrika ambazo zina migogoro ya kutaka madaraka kwa lazima bila kujali wananchi wanateseka kiasi gani.Hapo inawezekana kabisa anaweza kwenda na pesa hizo na mkate wenyewe asiupate.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…