LeopoldByongje JF-Expert Member Joined Apr 28, 2008 Posts 372 Reaction score 14 Feb 8, 2011 #1 Mtoto akiwa na Maburungutu ya Zim Dola akienda dukani kununua Mkate mjini Harare
mfereji maringo JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 1,043 Reaction score 263 Feb 9, 2011 #2 nasi hatuna muda mrefu tutakuwa kama wao, unakodi bajaji kubebea pesa za kwenda saluni kunyoa kwa wakaka au kuset nywelw kwa madada
nasi hatuna muda mrefu tutakuwa kama wao, unakodi bajaji kubebea pesa za kwenda saluni kunyoa kwa wakaka au kuset nywelw kwa madada
Babu Lao JF-Expert Member Joined Nov 2, 2010 Posts 2,042 Reaction score 180 Feb 9, 2011 #3 LeopoldByongje said: View attachment 22443 Mtoto akiwa na Maburungutu ya Zim Dola akienda dukani kununua Mkate mjini Harare Click to expand... We are also on the way!!:twitch:
LeopoldByongje said: View attachment 22443 Mtoto akiwa na Maburungutu ya Zim Dola akienda dukani kununua Mkate mjini Harare Click to expand... We are also on the way!!:twitch:
Joseph JF-Expert Member Joined Aug 3, 2007 Posts 3,518 Reaction score 1,090 Feb 9, 2011 #4 Hayo ni mambo ya kawaida sana hasa kwa nchi zetu za kiafrika ambazo zina migogoro ya kutaka madaraka kwa lazima bila kujali wananchi wanateseka kiasi gani.Hapo inawezekana kabisa anaweza kwenda na pesa hizo na mkate wenyewe asiupate.
Hayo ni mambo ya kawaida sana hasa kwa nchi zetu za kiafrika ambazo zina migogoro ya kutaka madaraka kwa lazima bila kujali wananchi wanateseka kiasi gani.Hapo inawezekana kabisa anaweza kwenda na pesa hizo na mkate wenyewe asiupate.