Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,142
- 27,103
Endelea kukaa tu mkoani mkuuHiyo kodi ya Daraja sijaelewa. Kwann mnalipa kodi kutembea barabarani?
Sent From Galaxy S9
Endelea kukaa tu mkoani mkuuHiyo kodi ya Daraja sijaelewa. Kwann mnalipa kodi kutembea barabarani?
Sent From Galaxy S9
Kila likipita linaacha buku tano.na ndio maana huku daladala zote ni eicherHivi hizo elfu tano za daladala ni kwa kila route yanayovuka hapo darajani au ni mara moja tu kwa siku?
Umepita recently.. Kama ulifanikiwa kupita Jana jioni hukukutana na foleni ya kufa MTU hapo.? Kila aliyeambiwa alikuwa anahoji kwanzaGari dogo inaanzia cc ngapi mbona mimi navuka toka mwaka jana kwa hiyo hiyo 2000 gari yangu ni cc 2000.
Lila route babaHivi hizo elfu tano za daladala ni kwa kila route yanayovuka hapo darajani au ni mara moja tu kwa siku?
Ukubwa WA gari inaangaliwa bodi c engineGari dogo inaanzia cc ngapi mbona mimi navuka toka mwaka jana kwa hiyo hiyo 2000 gari yangu ni cc 2000.
Hiyo kodi ya Daraja sijaelewa. Kwann mnalipa kodi kutembea barabarani?
Sent From Galaxy S9
😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘Ndo maana kiwanja changu kigamboni nilikiuza maana buku 4 daily niliona ufala
Jason Statham2
Sent using Jamii Forums mobile app