Bei ya kivuko cha daraja la Kigamboni zapandishwa ghafla kipindi hiki cha korona, kutoka 1500 kwa gari Dogo hadi 2000

Anyway system ya malipo pale darajan ipo controlled na TRA na CCTV camera upiga picha namba ya gari na kutuma kwny portal ya TRA na kupata body type ya gari na kutaja bei. So unapofika pale ujue amount hapangi yule teller pale bali anaelekezwa na system

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mods kwanini mnaruhusu huu upotoshaji?
IMG_20200502_095535.jpg
 
Back
Top Bottom