Ni lazima i kumpanua mawazoili kumuweka sawa afanye uamuzi sahihi. Bei za fremu zinarange kuanzia 150,000 mpaka 1,000,000 kwa mwezi kutokana na size na location. Depending on what marandu2010 anataka kuuza, wafanyabiashara wengi wanapendelea Kariakoo ambako fremu zinacost 1,000,000 kwa sababu ya wingi wa wateja. Wakidishaji wengi wanapendelea kodi ya mwaka mzima, plus kodi ya mwezi mmoja ya dalali maana Dar madalali hawaepukiki!