Bei ya flame za maduka

SMS
MKOKO KWENDA 15544 watakusaiidia zaidi hapa wengi wanasikiliza nani anaingia mjengoni DOM

Siyo kweli hapa wengine hata hizo issue za mjengoni hatuzisomi, tupo interested kwenye business. Maana hata hao wanaotaka kwenda mjengoni ni katika kutafuta tu.
 
asante mkuu fideli kwa mchango wako mzuri,,usijali tuko pamoja..

peace love...
 
Nimesoma mpaka hapa Topic ilipofikia sijaona aliyempa mawazo bwana Marandu2010 .. msaidieni mwenzenu kimawazo kama mjuavyo JF ni kijiji haijalishi kama pesa yake ni kiinua mgongo or Bingo ya Voda,Tigo ,Zain au Zantel.
 
Nimesoma mpaka hapa Topic ilipofikia sijaona aliyempa mawazo bwana Marandu2010 .. msaidieni mwenzenu kimawazo kama mjuavyo JF ni kijiji haijalishi kama pesa yake ni kiinua mgongo or Bingo ya Voda,Tigo ,Zain au Zantel.
nashukuru first lady kwa kunisapport,isitoshe hainisaidii mimi pekee,,kuna watu wengi wanazihitaji hizi habari,,ikiwa tutatumia nafasi hii kulumbana na kupingana tutakuwa tunajirudisha nyuma sisi kama wanajamii badala ya kujisogeza mbele.

thank you once again first lady..
 
Nimesoma mpaka hapa Topic ilipofikia sijaona aliyempa mawazo bwana Marandu2010 .. msaidieni mwenzenu kimawazo kama mjuavyo JF ni kijiji haijalishi kama pesa yake ni kiinua mgongo or Bingo ya Voda,Tigo ,Zain au Zantel.

Ni lazima i kumpanua mawazoili kumuweka sawa afanye uamuzi sahihi. Bei za fremu zinarange kuanzia 150,000 mpaka 1,000,000 kwa mwezi kutokana na size na location. Depending on what marandu2010 anataka kuuza, wafanyabiashara wengi wanapendelea Kariakoo ambako fremu zinacost 1,000,000 kwa sababu ya wingi wa wateja. Wakidishaji wengi wanapendelea kodi ya mwaka mzima, plus kodi ya mwezi mmoja ya dalali maana Dar madalali hawaepukiki!
 
asante sana ambassador kwa mchango wako mzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…