BEI YA DAWA NA KUPALILIA MPUNGA

BEI YA DAWA NA KUPALILIA MPUNGA

kycheneke

Member
Joined
Nov 3, 2016
Posts
68
Reaction score
34
Poleni na mizunguko ya kila siku, mimi ni mwanafunzi wa chuo...
Nmeamua kulima mpunga, sababu napenda kuinvest katika kilimo,, ila bado nakosa hints za kutosha kwa kilimo Cha mpunga, KWA CHOCHOTE CHA KUNISHAURI TUPIA HAPA hasa katika bei ya kupalilia na dawa,,, NTASHUKURU..
 
Back
Top Bottom