milion mbili, fekoni ni milion moja na laki nane. ndio biashara zetu mjini hapa za kumiliki boda bodo, japo hatuna ajira lakini kwa mwezi tunakipato kama mfanyakaz wa benk
Bei hitegemea na mazingira uliyopo, upatikanaji wake na mahitaji. Mfano pikipiki tajwa bei ya Nzega Tabora ni Tshs 2,100,000/= na Kahama na Mwanza hupatikana kati ya Tshs 1,950,000 hadi 2,50,000/= kwa pikipiki Mpya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.