mmh mbona hatari san mkuu kwa bei hiyo
mtungi wa kilo 15 au kilo 6?
tabata ipi?
Mtungi wenye ujazo (LPG) ya KG15 hauwezi kuuzwa 19000
Kwa nini ubongo wako umechagua kukoment bei ya 55,000 wakati pia kuna komenti ya bei ya 38,000??mmh mbona hatari san mkuu kwa bei hiyo
Ajakwambia kununua amesema kujazaMtungi wenye ujazo (LPG) ya KG15 hauwezi kuuzwa 19000
Mkuu labda hatujaelewana,sio kuuzwa ni kujazwa ,mm kununua nili nunua 67000 mwaka Jana ila nasikia kuwa imeshuka mpaka 48000 now.Mtungi wenye ujazo (LPG) ya KG15 hauwezi kuuzwa 19000
Hata kujazwa haiwezekani TanzaniaMkuu labda hatujaelewana,sio kuuzwa ni kujazwa ,mm kununua nili nunua 67000 mwaka Jana ila nasikia kuwa imeshuka mpaka 48000 now.
Sent using Jamii Forums mobile app