K Kremme JF-Expert Member Joined Oct 17, 2016 Posts 471 Reaction score 496 Apr 30, 2017 #1 Habari za weekend ndugu, Naomba kufahamu bei na aina za mashine ya kufyatulia tofali za umeme kwa wenye kujua. Natanguliza shukrani zangu za pekee.
Habari za weekend ndugu, Naomba kufahamu bei na aina za mashine ya kufyatulia tofali za umeme kwa wenye kujua. Natanguliza shukrani zangu za pekee.
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 102,675 Reaction score 126,903 Apr 30, 2017 #2 Mkuu upo kwenye orodha ya Mhe nini? hongera kwa ubunifu.