Bebi.

Bebi.

Ziltan

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
2,706
Reaction score
6,941
jamaa alikuwa safarini gari likamharibikia kijijini, akaomba hifadhi, akakaribishwa baada ya kuoga na kula MZEE sasa huyu mgen alale wap? MKE saa hizi ni ucku akalale na bebi jamaa akaona huyu bebi pengine anakojoa kitandani au atalia kunisumbua ucku JAMAA:mspate tabu mi nitalala hapa kwenye koch.asubuh wanakunywa chai akaibuka mrembo jamaa akapigwa na bumbuwaz almanusra ajimwagie chai BINT: Naitwa BEBI we unaitwa nan?JAMAA:aah mi naitwa BONGE la ---- kumamamae zangu!
 
Hahahahahahahaha
Alijiona mse... Kwelikweli

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
hahahaaaa...... jamaa kamkosa bebi hivihivi ..... tena kwa ruhusa ya wazazi..... usikatae wito
 
hapo lazima gari liendelee kuharibika na chai imwagikie kochini
 
Jamaaa alijiona zuzu sana

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
jamaa alikuwa safarini gari likamharibikia kijijini, akaomba hifadhi, akakaribishwa baada ya kuoga na kula MZEE sasa huyu mgen alale wap? MKE saa hizi ni ucku akalale na bebi jamaa akaona huyu bebi pengine anakojoa kitandani au atalia kunisumbua ucku JAMAA:mspate tabu mi nitalala hapa kwenye koch.asubuh wanakunywa chai akaibuka mrembo jamaa akapigwa na bumbuwaz almanusra ajimwagie chai BINT: Naitwa BEBI we unaitwa nan?JAMAA:aah mi naitwa BONGE la ---- kumamamae zangu!
Jina limemtosha akabisa hehhehehe


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Machkini poyeeeee ake!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom