Beach plots

Beach plots

VUASU

Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
12
Reaction score
0
Wakuu kwa mwenye mahitaji ya maeneo karibu na ufukwe wa bahari ya Hindi eneo la Bagamoyo just ni pm.Maeneo yote yamepimwa na idara ya ardhi na yana hati miliki.kabla ya malipo utajiridhisha kwanza na hati hizo.Ukihitaji eka tatu na kuendelea.Nawasilisha....!!!
 
Ni kweli,hela ndefu kidogo,ila kwa mwenye kuhitaji kwa uwekezaji au hata Makazi ni raha tupu.karibu.
 
Makisio ni bei gani kwa acre.

Mkuu kuna eneo la ekari Sita bei yake ni m900.Kama nilivoeleza hapo juu,ni eneo halali,na unaweza chukua tahadhari zote unazoona zinafaa,ili tu uridhike.....!!!
 
Millioni 900!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
hiyo million 900, mimi nitapata faida gani na eneo hilo?

isuje kuwa pale wanapotaka jenga bandari mbeleni au?
 
Ni eneo linalofaa sana Kwa uwekezaji hasa wa Hoteli Mkuu.hadi linauzwa kwa bei hiyo ni wazi kuwa linafaida kubwa,lakini Kwa wajasiria mali.Pia kwa maisha ya kujinafasi panafaa sana kwa makazi
 
hiyo million 900, mimi nitapata faida gani na eneo hilo?

isuje kuwa pale wanapotaka jenga bandari mbeleni au?

Mkuu kuhusu uhalali wa eneo hakuna tatizo lolote,utakuwa Na uhuru wa kuchunguza hati husika Kwa kwenda kwenye idara yeyote itakayokupa majibu utakayoridhika nayo ndio ufanye malipo
 
Mkuu kuhusu uhalali wa eneo hakuna tatizo lolote,utakuwa Na uhuru wa kuchunguza hati husika Kwa kwenda kwenye idara yeyote itakayokupa majibu utakayoridhika nayo ndio ufanye malipo
Mkuu viwanja bado vipo?au ndio vishawahiwa?
 
Mkuu kuna eneo la ekari Sita bei yake ni m900.Kama nilivoeleza hapo juu,ni eneo halali,na unaweza chukua tahadhari zote unazoona zinafaa,ili tu uridhike.....!!!

Mmelenga wa TZ wa kawaida au mafisadi?

Mh wa TZ kwa bei kasheshe mnaiga wapi hizi bei?
 
Mmelenga wa TZ wa kawaida au mafisadi?

Mh wa TZ kwa bei kasheshe mnaiga wapi hizi bei?

Inamaana unapendekeza bei zote ziishie elfu hamsini ili watanzania wote wamudu..??????:crying:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom