Mjanja huyo...eti sio ili turudiane...ila nakumiss 🤣🤣🤣🤣View attachment 2506554
Apology Accepted.
Access Denied.
Kadri navyozidi kuwaelewa watu ndivyo navyozidi kuwaheshimu Mbwa nnao wafuga..
#Hy ni mmoja wapo sita wa hvy😎
Mtego wa panya ukavulie samaki😁Mjanja huyo...eti sio ili turudiane...ila nakumiss 🤣🤣🤣🤣
Pole! I get that...but if we are being honest, wewe huwa unawatendea wenzio haki??Nna matukio nkiweka hapa unajiuliza Kama sikuona wengine aua vipi ..... Imani yangu na 2ND chances kwa wanawake zingenitoa roho kishamba 😛
Njoo nikuondolee Nina dawa ya asiliUtajua ujui ila UTI nilipata kwako
Labda ndo unamalizia malizia kulipia dhambi zako. Kuwa mvumilivu!😄Nafahamu kila mtu ni mbaya katika historia ya mtu fulani ila kwa mavuno niliyavuna toka kwao acha muhasi😂
Sasa kama huyo kwanini usimsamehe!!? Hata kama ukiwa usha oa mwingine bado ataitaji huruma na msamaha uliotukukaView attachment 2506554
Apology Accepted.
Access Denied.
Kadri navyozidi kuwaelewa watu ndivyo navyozidi kuwaheshimu Mbwa nnao wafuga..
#Hy ni mmoja wapo sita wa hvy
Mshirikina hasamehewi kakaSasa kama huyo kwanini usimsamehe!!? Hata kama ukiwa usha oa mwingine bado ataitaji huruma na msamaha uliotukuka
Nipo Ibadani nafukuza hizo dhambi muda huu.Labda ndo unamalizia malizia kulipia dhambi zako. Kuwa mvumilivu!😄
Ushanipa so hainiusuNjoo nikuondolee Nina dawa ya asili
Sema hujaelewa acha kupiga keleleNafahamu kila mtu ni mbaya katika historia ya mtu fulani ila kwa mavuno niliyavuna toka kwao acha muhasi😂
Woow,mother anajua kuwa unamwazia ivo?Women ! women !women! women! stop adoring them they are just nonsense like other nonsense
Hukumsikilizaga vizuri Mwalimu Nyamweru au ulikua una dodge?Dah Leo ndo nimegundua kiingereza kimenitupa mkono
Naungana na comments Za wadau
“Kweli wanawake ni wabaya usiwasikilize”
Ulitaka nielewe sawa na unavyoelewa au ulitaka nieleweje ?Sema hujaelewa acha kupiga kelele