johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,875
Nimeliangalia pande zote gereza la Guantenamo wanakoshikiliwa walipuaji wa Marekani mnamo September 11 mwaka ule, kiukweli Ugaidi siyo mchezo.
Peter Msembi wa BBC Dira ya Dunia aliyefika Guantenamo na kuishia nje ya gereza anasema watuhumiwa wana zaidi ya miaka 20 mahabusu na hakuna dalili ya shauri kusikilizwa.
Nikafikiria tu hapa Tanzania gereza gani anaweza kuhifadhiwa gaidi wa kiwango cha kimataifa.
Kiukweli tuupige vita ugaidi na viashiria vyake vilivyoachwa na yule Hamza.
Mungu ni mwema wakati wote!
Peter Msembi wa BBC Dira ya Dunia aliyefika Guantenamo na kuishia nje ya gereza anasema watuhumiwa wana zaidi ya miaka 20 mahabusu na hakuna dalili ya shauri kusikilizwa.
Nikafikiria tu hapa Tanzania gereza gani anaweza kuhifadhiwa gaidi wa kiwango cha kimataifa.
Kiukweli tuupige vita ugaidi na viashiria vyake vilivyoachwa na yule Hamza.
Mungu ni mwema wakati wote!