... kuna mtumishi wa Serikali alikopeshwa 800,000 mwaka jana. Analipa Sh 98,000 kwa mwezi kwa miaka mitano! Akiwaomba wampe hata mchanganuo wa mkopo wake wanaleta kona kibao!
Kwa ufupi, kopa kwa hao jamaa, andaa na mazishi yako - hawafai! Bayport, FINCA, Blue (kama bado wapo), PRIDE, nk, wote na walewale tu.
Mkopo? Nenda Benki. Angalau BoT wana-kausimamizi kiasi!