BAVICHA watikisa Musoma Mjini

BAVICHA watikisa Musoma Mjini

HabariChademamara

Senior Member
Joined
Apr 6, 2015
Posts
113
Reaction score
91
Bavicha watikisa Musoma mjini leo katika viwanja vya Stendi kata ya Nyasho wakiongozwa na Katibu Mkuu Mwita Julius pamoja na kamanda John Heche mtangaza nia wa ubunge jimbo la Tarime.tazama picha mbali mbali katika mkutano wa leo ..
 

Attachments

  • 1429205375093.jpg
    1429205375093.jpg
    52.4 KB · Views: 1,307
  • 1429205482348.jpg
    1429205482348.jpg
    75.7 KB · Views: 1,064
  • 1429205510898.jpg
    1429205510898.jpg
    74.6 KB · Views: 1,381
  • 1429205530804.jpg
    1429205530804.jpg
    61.1 KB · Views: 923
  • 1429205546695.jpg
    1429205546695.jpg
    102.9 KB · Views: 880
  • 1429205591046.jpg
    1429205591046.jpg
    101 KB · Views: 1,530
Hao Bavicha wamekaa kinyonge utafikiri wanaomboleza
 
Eistein Musoma mjini ccm hawana chao tena Kama tu ni mkutano wa Vijana tena amekuja Mwita Julius mwenye je ingekuja team nzima ya Bavicha..
 
NI MKWELI MKUU SI UMEONA FISI HAO, WATU WAMEKUJA KUWASHANGAA TU, NILIKUONA MKUU MAANA NDIO MITAA YAKO YA KUJIDAI (WEWE KILA SIKU UNAHAMA MAHALI PA KUISHI UNAFUATA MIKUTANO YA CHADEMA, MARA UKO IRINGA,MARA SINGIDA MASHARIKI, IRINGA KWA KINA ROSE MAYEMBA, MARA MBEYA ETC)... NA PICHA WAMECHAKACHUA SI UNAONA HUONEKANI....[QUOTE=laki si pesa;12473063]Bavicha imepoteza mvuto.[/QUOTE]
 
Bado Bavicha Haifanyi Vile Inavyo Takiwa. Wanatakiwa Kuugawana Mkoa Mzima Kwa Wiki Kufanya Mikutano Mjini Zilikuwa Ni Hatua Za Mwanzo Kipindi Cha Kutangaza Chama, Unapokuwa Unapambana Na Mkolon Mweupe Ndo Unazungukia Mjin Ila Mkolon Mweusi Mpaka Upenye Vijiji Ukawatie Moyo Makamanda
 
Moto wa mwaka huu wachadema ni ngumu zaidi kuuzima huku Dar mbowe akiwapa semina viongozi,kule mara Bavicha wanafanya yao, USA Slaa anafanya yake, Kule Kagera Mtungirehi nafanya yake,
 
Watu 18 mnapiga kelele nyie vp shazi liko Tbr kwenye mkutano wa wazarendo
 
Bado Bavicha Haifanyi Vile Inavyo Takiwa. Wanatakiwa Kuugawana Mkoa Mzima Kwa Wiki Kufanya Mikutano Mjini Zilikuwa Ni Hatua Za Mwanzo Kipindi Cha Kutangaza Chama, Unapokuwa Unapambana Na Mkolon Mweupe Ndo Unazungukia Mjin Ila Mkolon Mweusi Mpaka Upenye Vijiji Ukawatie Moyo Makamanda

Ni kweli kabisa
 
John Heche kumbe bado ni Bavicha.
 
Tanzania kubwa sana kuingia kwa Zitto kutasaidia kila kona itikisike na elimu ifike kwa walengwa kila mmoja atimize wajibu wake. CUF sifahamu wanafanyaje kazi ni kama wategaji na hao NCCR MAGEUZI mnaetegea mnajiumiza wenyewe maana Zitto atawakomba jambo ambalo ni zuri. Ujio wa Zitto uwaamshe waliolala. Zitto nakuomba njoo tanga na pwani huko kuna pori virgin land
 
Back
Top Bottom