Kimbley JF-Expert Member Joined Apr 8, 2015 Posts 3,050 Reaction score 2,107 May 9, 2015 #21 Chademakwanza said: Presure ipi hao wachumia tumbo Click to expand... ahahaha wote wachumia tumbo tu!nani anayechumia tumbo la mwenzie
Chademakwanza said: Presure ipi hao wachumia tumbo Click to expand... ahahaha wote wachumia tumbo tu!nani anayechumia tumbo la mwenzie
MOTOCHINI JF-Expert Member Joined Jan 20, 2014 Posts 29,097 Reaction score 35,475 May 9, 2015 #22 Chademakwanza said: Kwakua unapata ruzuku ya ccm unaona fisi tu hapo ulipo Click to expand... Fisi na ACT wapinawapi! fanyeni siasa wacheni siasa za kitoto majukwaani zungumzien wananchi na si chuki za mbowe iwe bishara ya chadema
Chademakwanza said: Kwakua unapata ruzuku ya ccm unaona fisi tu hapo ulipo Click to expand... Fisi na ACT wapinawapi! fanyeni siasa wacheni siasa za kitoto majukwaani zungumzien wananchi na si chuki za mbowe iwe bishara ya chadema
N nkongu ndasu JF-Expert Member Joined Jan 19, 2013 Posts 22,532 Reaction score 6,628 May 9, 2015 #23 bavicha wakitoka huko waingie ruvuma hasa majimbo ya mbinga mgharibi,mbinga mashariki ambako kwa sasa wagombea ubunge wa ccm wamejazana wakishindana kuwahonga wananchi kuelekea oktoba.
bavicha wakitoka huko waingie ruvuma hasa majimbo ya mbinga mgharibi,mbinga mashariki ambako kwa sasa wagombea ubunge wa ccm wamejazana wakishindana kuwahonga wananchi kuelekea oktoba.
M master gland Senior Member Joined Apr 3, 2012 Posts 198 Reaction score 60 May 9, 2015 #24 Mkutano umepita salama watu nyomi kwelikweli
N nkongu ndasu JF-Expert Member Joined Jan 19, 2013 Posts 22,532 Reaction score 6,628 May 9, 2015 #25 master gland said: Mkutano umepita salama watu nyomi kwelikweli Click to expand... haa haa weka picha kamanda
master gland said: Mkutano umepita salama watu nyomi kwelikweli Click to expand... haa haa weka picha kamanda