Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,872
Baraza la vijana wa CHADEMA (BAVICHA ) Wameelekea Mkoa wa Mtwara hii leo,wakiongozwa na Katibu Mkuu wa BAVICHA Julius Mwita,Naibu Katibu Mkuu bara Getrude Ndibalema na Katibu Mwenezi wa BAVICHA Taifa Edward Simbeye.
Watafanya mikutano sita ya hadhara,kuhamasisha uandikishaji wa wapiga kura katika Daftari la kudumu la wapiga kura.
Pamoja na hayo watakagua uhai wa Chama na kufanya mafunzo ya Uongozi kwa viongozi wote wa CHADEMA.
Leo kuanzia saa kumi jioni,kutafanyika mikutano miwili katika kata ya Mwena jimbo la Masasi,tarafa ya Chikundi na Mkutano wa mwisho utafanyika Ruangwa mjini Jimbo la Ruangwa.
Mungu Ibariki BAVICHA,Mungu ibariki CHADEMA Mungu ibariki Tanzania.
Watafanya mikutano sita ya hadhara,kuhamasisha uandikishaji wa wapiga kura katika Daftari la kudumu la wapiga kura.
Pamoja na hayo watakagua uhai wa Chama na kufanya mafunzo ya Uongozi kwa viongozi wote wa CHADEMA.
Leo kuanzia saa kumi jioni,kutafanyika mikutano miwili katika kata ya Mwena jimbo la Masasi,tarafa ya Chikundi na Mkutano wa mwisho utafanyika Ruangwa mjini Jimbo la Ruangwa.
Mungu Ibariki BAVICHA,Mungu ibariki CHADEMA Mungu ibariki Tanzania.