Hizo Halmashauri 19 zitaendelea kwa kasi ya ajabu ya mabadiliko.Halmashauri 19 zipo mikonon mwao
Hizo Halmashauri 19 zitaendelea kwa kasi ya ajabu ya mabadiliko.
Labda kwa wale waliochagua jiwe....Lakini nafurahi kuwa chuki dhidi ya ccm inazidi kuongezeka.
hahahaha kweli mbowe ni nomaa,,
akili za ki-Dj anatumia kuendesha chama.
ila tuwaombee labada watavuka