Sanzjr Hamma
Member
- Jun 17, 2013
- 42
- 3
uadilifu, busara na hekima kwa viongozi makini, vinatoka hapa. Rai kwa vijana, tutumie chemchemi hii kutoa HOJA MANTIKI!
Jihadharini msikisaliti chama kama walivyofanya wenzenu waliofukuzwa. Mtalaaniwa na kizazi hiki na hivyo vijavyo.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums