BAVICHA kutikisa Musoma mjini kesho

HabariChademamara

Senior Member
Joined
Apr 6, 2015
Posts
113
Reaction score
91
Tokomeza CCM Musoma mjini inaendelea kesho ambapo team ya Bavicha Taifa ikiongozwa na Katibu Mkuu Mwita pamoja na John Heche aliyekuwa Mwenyekiti BAVICHA aliyemaliza muda wake ambaye kwa sasa ni mtangaza nia ya ubunge jimbo la Tarime. Kesho kuanzia saa 7 mchana katika viwanja vya Nyasho Stendi jimbo LA Musoma mjini watafanya mkutano mkubwa Sana pia kufungua ofisi ya CHADEMA kata ya Nyasho.
 
Kukosoa kidogo, Heche alikuwa mwenyekiti Bavicha Taifa. Otherwise asante kwa taarifa.
 
jamani njoeni na huku Rorya shirati,utegi na kogaja
 

Bavicha(baraza la vichaa chadema) hamna sera
 
lolowapi nafuu yetu ni vicha na wanafika kwa wanainchi je hiyo yako uvccm iko wapi?
 
HabariChademamara tunataka kuona matunda ya ziara zenu sio iwe ni ziara zisizo na tija kama za kina ana
 
Last edited by a moderator:
tuhamie vijijini mjini wameshaelewa bana
 
Specialist88 ndo ziara imeanza hivyo mkoa mzima wa Mara kijiji kwa kijiji nyumba kwa nyumbani.
 
na wale wanaofata lami wako wapi
 
Mm1 watakuwepo Musoma mjini tarh 19,kupima nguvu yao wacha tuwasubiri tuone Kama wanatosha.kupambana na Chadema.
 
Mbona hamjasema kutakuwa na viroba vingapi na gongo lita ngapi ili muwavutie bavicha wenzenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…