Gor
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,791
- 850
Makamanda wa mkutano mkuu wa Bavicha mjue kuwa baraza lenu ndio askari wa kufagia njia.Hivyo mjue kibarua mlionayo,m/kiti mpya lazima awe na uwezo usio na mashaka
.Awe Tayari kuwaimbisha vijana tuko tayari.....tuko tayari.....,awe mwenye kujua adui yetu namba moja ni CCM,awe mwenye kujua udenda watutoka ilikuingia ikulu,awe anajua kuwa haki za chama zitalindwa kwa gharama yoyote,awe amezoea siasa gumu, ambaye ana uwezo zaisi ya Heche, maana Heche amefanya kazi safi sana,anayeaminika,mwenye akili na jeuri sb anajua.
Makamanda kesho tu tutakuwa na operesheni kali na inavyoonekana tutapigania haki yetu maana ccm tumewaona kwenye bunge la katiba wanaweza kugoma kutoa serikali hata kama wameshindwa.
Siri kubwa sio maneno ni matendo na kumbu kumbu ndio mtumie kuamua.Nime wachunguzawagombea wote NANYARO ANA SIFA HIZO.
Mkimchagua jembe Rorya tutawaalike mje kunywa nyuka anang'a (uji wa samli).
Mie nimetumia MATENDO NA KUMBU KUMBU NILIZO NAZO KUAMUA. NA NYIE TUMIENI MATENDO NA KUMBU KUMBU KUFANYA UAMUZI.:flame:
.Awe Tayari kuwaimbisha vijana tuko tayari.....tuko tayari.....,awe mwenye kujua adui yetu namba moja ni CCM,awe mwenye kujua udenda watutoka ilikuingia ikulu,awe anajua kuwa haki za chama zitalindwa kwa gharama yoyote,awe amezoea siasa gumu, ambaye ana uwezo zaisi ya Heche, maana Heche amefanya kazi safi sana,anayeaminika,mwenye akili na jeuri sb anajua.
Makamanda kesho tu tutakuwa na operesheni kali na inavyoonekana tutapigania haki yetu maana ccm tumewaona kwenye bunge la katiba wanaweza kugoma kutoa serikali hata kama wameshindwa.
Siri kubwa sio maneno ni matendo na kumbu kumbu ndio mtumie kuamua.Nime wachunguzawagombea wote NANYARO ANA SIFA HIZO.
Mkimchagua jembe Rorya tutawaalike mje kunywa nyuka anang'a (uji wa samli).
Mie nimetumia MATENDO NA KUMBU KUMBU NILIZO NAZO KUAMUA. NA NYIE TUMIENI MATENDO NA KUMBU KUMBU KUFANYA UAMUZI.:flame: