Bata mzinga wanauzwa

Joined
Mar 6, 2012
Posts
61
Reaction score
8
Bata mzinga na kuku wa kienyeji wanauzwa kwa bei poa dar,,,kwa ma wasiliano piga
0712419419
 
Bata mzinga unauza bei gani? na upo wapi
 
hili ndio tatizo unapo weka bandiko la biashara ni bora ukaweka bei na vitu vingine kama umri wa hao bata , mahali ulipo kuliko kungangania wateja wakupigie kama vp tu beep basi tukupigie
 
hili ndio tatizo unapo weka bandiko la biashara ni bora ukaweka bei na vitu vingine kama umri wa hao bata , mahali ulipo kuliko kungangania wateja wakupigie kama vp tu beep basi tukupigie

Ni kweli mimi hapa nilipo simu yangu haina hela kwani tuingizane gharama mahali ambapo tunaweza tukasevu jamani?
 
Wanunuzi tupo, tangaza bei mjengoni mkuu? jike au dume, rangi na umri wake
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…