Bata mzinga (turkey) dume la mbegu linauzwa

Bata mzinga (turkey) dume la mbegu linauzwa

deniro

Member
Joined
Aug 24, 2015
Posts
8
Reaction score
5
1507201055000.jpg
1507201067315.jpg

Kama unamhitaji nipigie 0718337800 bei 300,000. Anaumri Wa Mwaka mmoja na kilo 8
 
Sijui eneo ulipo ila hao wanauzwa Tsh.150,000/= wakiwa wakubwa kabisa. au sijajua hiyo pesa uliyoitaja no currency ya nchi gani.Then mwaka mmoja Na kilo 8 no umri Wa sehemu gani katika universe yetu hii.
 
Nafikiri ww huwajui hao ..na hiyo bei uliotaja ni kwa wale wasio panda au wasio taga kama n jike
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom