Basi mali ya Kampuni ya ABC lapata ajali Mlima Kitonga

Basi mali ya Kampuni ya ABC lapata ajali Mlima Kitonga

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,662
Reaction score
59,100
Basi mali ya Kampuni ya ABC (namba hazijapatikana) imepata ajali mlima Kitonga huko mkoani Iringa.

Tunaendelea kufuatilia taarifa zaidi
IMG-20250328-WA0019.jpg
 
Basi mali ya Kampuni ya ABC (namba hazijapatikana) imepata ajali mlima Kitonga huko mkoani Iringa.
Ajali ya aina gani
  1. Limegonga?
  2. Limegongwa?
  3. Limeanguka?
  4. Limehama njia?
  5. Limewaka moto?
Au ajali ya namna gani
 
Wanabahati nimeacha njia sehemu ambayo haina bonde. Hiyo kitonga kunasehemu mita 2 kutoka kwenye kingo ya barabara ni bonde lenye urefu wa semi trailer 2 mpka 3.
 
Team New Force wakiona taarifa kama hii watashusha pumzi. Maana ni nadra sana kusikia ABC imepata ajali.
Pole nyingi kwa wahanga wote wa hiyo ajali.
 
huyo dereva atakuwa mwenyeji WA Tanga kama ni WA iringa au nyanda za juu kusini ....atakuwa kachomekewa
 
Utatuzi wa eneo korofi la milima ya Kitonga, Lukumbulu, Sekenke, Lyamba lya mfipa Usambara, Nyang'oro na mlima Kolo ni ujenzi wa mahandaki kama yale yaliyojengwa Kilosa kwenye reli ya SGR_TZ ..... Badala ya kujilipa maposho na kununua ma V8 Serikali igharimie miundombinu ya kudumu kama hivi: 👇 👇
 
Back
Top Bottom