chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,367
- 27,773
Habari nilizozisikia hivi punde zinasema basi la kampuni ya New Force lililokuwa likitokea Dar kuelekea Songea limeacha njia na kuingia porini katika kijiji cha Ngadinda, kuna taarifa za kuwepo kwa majeruhi na vifo havijathibitishwa. Taarifa hii imetolewa na Kamanda wa mkoa Wa Ruvuma, Mihayo ambaye ameelekea katika eneo la tukio. Chanzo Tbc Fm