Wanaandaliwa wawili.
Baahungwa na Riziwani
Wote hawa lazima wapite Tamisemi, Ofisi ya Rais utawala bora ambako Kuna wale jamaa wa suti nyeusi.
Lazima wapite Ulinzi na Foreign affairs kwa nyakati tofauti.
Ila naona rimoti ya msoga ilkifaulu zaidi kuchezesha mchezo vizuri, processor akiwa Mzee Kinana kwa ukaribu.
Walioko nje ya matazamio lkn wako ktk maandalizi kabambe Ni pamoja na Marope,na huyu anayekwapua pale hazina.