Bashungwa kakaa kisanii sana

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,723
Reaction score
13,461
Huyu jamaa inaonekana maisha yake nnje ya bunge na uwaziri ni magumu sana, ukiingia kwenye page zake za Mitandao kakaa kisani sanii , Huwa anawatu wake wa kumrekodi akiwa anact usanii, na anaendaga na upepo

Kabla ya kupewa wizara ya mambo ya ndani alikuwaga mtu flan mpole sana kila alivyopewa tu kazi akabadilika vibaya

Now katupwa nnje naona anahaha kusaka uwaziri Jana alionekana kapiga magoti kzimkazi mwamba ni msanii haswa
 
Bila kuwa msanii CCM utapitwa na mazuri mengi, ndio maana vioja havikauki nchi hii
 
usanii umeona kwa huyo tu..viongozi wengi ni wasanii mbona "CHALAMILA" hutamtaja au huyo unabifu naye.
 
Ni msanii kweli kweli nakumbuka uchaguzi wa 2020 alitembelea mama ntilie nayeye akaomba aachiwe jiko eti apike, akavaa na apron kabisa kumbe ni harakati tu za kutafuta kura
 
Waje JF watapata mafao manono kama sisi hadi watashangaa waliokuwa wapi siku zote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…