Hilo ombi lako halitekelezeki. Vijana wangu walio jitolea huenda wakapewa kipaumbele safari hii. Hao wanao kurupuka sasa kuomba, nao nawatakia kila la heri.
Ingawa kiukweli hali ni mbaya mtaani. Na iwapo huo mfumo wa maombi utafunguliwa, basi kutatokea mafuriko ya maombi na mwisho wa siku hao Tamisemi wenyewe, wataishia tu kuchanganyikiwa.