ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,115
- 49,835
Kashfa zinaendelea kuliandama kanisa la kina johnthebaptist kuanzia kulawiti Watoto Hadi ushoga na kuchochea na kufumbia macho mauaji ya Watutsi na Wayahudi.Hao ndio RC ambao Kwa Nje ni Kanisa ila Kwa ndani ni 'matapeli"
Kabla ya mauaji ya Wayahudi ,Papa wa wakati huo alikuwa na taarifa zote ila Akakausha asiwaambie Wayahudi Hadi wakatetekezwa na Wanazi.
Endeleeni kutafuna Popcorn Bado mengi zaidi yanakuja,wataumbuka zaidi.
---
Barua iliyoibuliwa hivi karibuni huko Vatican inafichua mengi kuhusu Wajerumani na Papa Pius XII.
Barua iligunduliwa na mtunza kumbukumbu wa Vatican, Giovanni Cocco. Ilichapishwa Jumapili katika gazeti la Italia, Corriere della Sera chini ya kichwa cha habari "Pius XII alijua."
Barua ya tarehe 14 Disemba 1942, iliandikwa na Padri Lothar König, aliyepinga Wanazi huko Ujerumani, kwa Padri Robert Lieber, katibu binafsi wa Papa katika Vatican.
Inataja kambi tatu za Nazi; Belzec, Auschwitz na Dachau. Pia, inaaminika kuna barua nyingine kati ya Koenig na Leiber, lakini huenda zimetoweka au bado hazijafichuliwa.
Chanzo: BBC Swahili
View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1709637081796858162?t=fmcz4zK_Qu76kjax_EOg0A&s=19
Kabla ya mauaji ya Wayahudi ,Papa wa wakati huo alikuwa na taarifa zote ila Akakausha asiwaambie Wayahudi Hadi wakatetekezwa na Wanazi.
Endeleeni kutafuna Popcorn Bado mengi zaidi yanakuja,wataumbuka zaidi.
---
Barua iliyoibuliwa hivi karibuni huko Vatican inafichua mengi kuhusu Wajerumani na Papa Pius XII.
Barua iligunduliwa na mtunza kumbukumbu wa Vatican, Giovanni Cocco. Ilichapishwa Jumapili katika gazeti la Italia, Corriere della Sera chini ya kichwa cha habari "Pius XII alijua."
Barua ya tarehe 14 Disemba 1942, iliandikwa na Padri Lothar König, aliyepinga Wanazi huko Ujerumani, kwa Padri Robert Lieber, katibu binafsi wa Papa katika Vatican.
Inataja kambi tatu za Nazi; Belzec, Auschwitz na Dachau. Pia, inaaminika kuna barua nyingine kati ya Koenig na Leiber, lakini huenda zimetoweka au bado hazijafichuliwa.
Chanzo: BBC Swahili
View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1709637081796858162?t=fmcz4zK_Qu76kjax_EOg0A&s=19