Barua kutoka Sekretarieti ya Ajira

Barua kutoka Sekretarieti ya Ajira

Ramos Jr

Member
Joined
May 3, 2014
Posts
44
Reaction score
10
Naomba kujua hizi barua zinatumia muda gani hadi kumfikia mlengwa maana kuna jamaa zangu wameitwa kazini ila BARUA hazijafika na walisema watatuma posta.
 
jamaa zako au wewe mwenyewe?

kwani hao jamaa zako waliitwa lini aisee? hii ya tar 29.10.2014 au ya September?

nasikia uwa zinachelewa sana au haziji kabisa. mi naona kama upo dar, nenda hapo maktaba wasikilize au kama vipi, subiria tu hadi week 2 angalau zipite. :sick:
 
jamaa zako au wewe mwenyewe?

kwani hao jamaa zako waliitwa lini aisee? hii ya tar 29.10.2014 au ya September?

nasikia uwa zinachelewa sana au haziji kabisa. mi naona kama upo dar, nenda hapo maktaba wasikilize au kama vipi, subiria tu hadi week 2 angalau zipite. :sick:


Mmoja yuko mpanda mwingine muheza ngoja ntawashauri wafuatilie Dar, ahsante kwa taarifa ndugu maana mimi nafanya Private sector sina uzoefu na taratibu za Government.
 
Rafiki yangu alichelewa kupata yake huku wenzake wakiwa wameshapata.... alipoenda kufuatilia aliambiwa asubirie itatumwa tuu posta. Wiki mbili mbele na barua bado...siku hiyo akaenda kuwauliza tena akawa mkali secretary akawa anakijibu kwa nyodo. Kumbe barua anayo kwenye meza yake nafikiri alikuwa anasubiri wamweke mtu wqnaomjua kwa nafasi hiyo. Baada ya kuwa mkali akapewa halafu akaambiwa kesho ndio wanasaini mikabata. Kesho yake kaenda sehemu husika kakuta watu wengi balaa... anauliza waliambiwa lini wanasema kama wiki mbili zimepita. Sass secretary anaibania barua ya nini?!!! Na kama asingekuwa mkali asingepata barua wala kusign mikataba...angejuaje?!!! washauri nduguzo wafuatilie maana wasije jikuta majina yao wanaishia kuyaona magazetini bila kupata kazi.
Alamsiki.
 
Rafiki yangu alichelewa kupata yake huku wenzake wakiwa wameshapata.... alipoenda kufuatilia aliambiwa asubirie itatumwa tuu posta. Wiki mbili mbele na barua bado...siku hiyo akaenda kuwauliza tena akawa mkali secretary akawa anakijibu kwa nyodo. Kumbe barua anayo kwenye meza yake nafikiri alikuwa anasubiri wamweke mtu wqnaomjua kwa nafasi hiyo. Baada ya kuwa mkali akapewa halafu akaambiwa kesho ndio wanasaini mikabata. Kesho yake kaenda sehemu husika kakuta watu wengi balaa... anauliza waliambiwa lini wanasema kama wiki mbili zimepita. Sass secretary anaibania barua ya nini?!!! Na kama asingekuwa mkali asingepata barua wala kusign mikataba...angejuaje?!!! washauri nduguzo wafuatilie maana wasije jikuta majina yao wanaishia kuyaona magazetini bila kupata kazi.
Alamsiki.

kwani tokea majina yatoke hadi mwisho wa kwenda kwa mwajiri wako, ni kipindi gani?
 
Rafiki yangu alichelewa kupata yake huku wenzake wakiwa wameshapata.... alipoenda kufuatilia aliambiwa asubirie itatumwa tuu posta. Wiki mbili mbele na barua bado...siku hiyo akaenda kuwauliza tena akawa mkali secretary akawa anakijibu kwa nyodo. Kumbe barua anayo kwenye meza yake nafikiri alikuwa anasubiri wamweke mtu wqnaomjua kwa nafasi hiyo. Baada ya kuwa mkali akapewa halafu akaambiwa kesho ndio wanasaini mikabata. Kesho yake kaenda sehemu husika kakuta watu wengi balaa... anauliza waliambiwa lini wanasema kama wiki mbili zimepita. Sass secretary anaibania barua ya nini?!!! Na kama asingekuwa mkali asingepata barua wala kusign mikataba...angejuaje?!!! washauri nduguzo wafuatilie maana wasije jikuta majina yao wanaishia kuyaona magazetini bila kupata kazi.
Alamsiki.

nashukuru mkuu ngoja ntawaarifu waanze safari ya kwenda dar maana wametoka tangazo la tarehe 29/10/2014
 
Wakienda kufuata hizo barua wasisahau kubeba hata kitambulisho ata cha mpira mpiga kura
 
Rafiki yangu alichelewa kupata yake huku wenzake wakiwa wameshapata.... alipoenda kufuatilia aliambiwa asubirie itatumwa tuu posta. Wiki mbili mbele na barua bado...siku hiyo akaenda kuwauliza tena akawa mkali secretary akawa anakijibu kwa nyodo. Kumbe barua anayo kwenye meza yake nafikiri alikuwa anasubiri wamweke mtu wqnaomjua kwa nafasi hiyo. Baada ya kuwa mkali akapewa halafu akaambiwa kesho ndio wanasaini mikabata. Kesho yake kaenda sehemu husika kakuta watu wengi balaa... anauliza waliambiwa lini wanasema kama wiki mbili zimepita. Sass secretary anaibania barua ya nini?!!! Na kama asingekuwa mkali asingepata barua wala kusign mikataba...angejuaje?!!! washauri nduguzo wafuatilie maana wasije jikuta majina yao wanaishia kuyaona magazetini bila kupata kazi.
Alamsiki.

Kwanini mascretary wengi wana roho mbaya hivyo?
 
Back
Top Bottom