Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,289
- 2,472
Nilikuwa namchukulia dogo poa ila kwa hii kitu ninamheshimu kweli. Sijua KTMA kama yuko kwenye kategori ya utunzi bora ila kama yupo basi anabeba tuzo. Huu wimbo wa Ruby ninausikiliza kila baada ya dk 7 hivi na hauniishi hamu. Licha ya sauti tamu ya Ruby na kaumbile kake, kikubwa ni utunzi mahiri wa wimbo wenyewe. Kiukweli wimbo umeshiba na una mapenzi ya kiutu uzima, sio yale ya demu wangu. Nilipouliza nikaambiwa aliyesababisha ni Barnaba. You are the best boy. Aliyeimba pia kautendea mno haki maana ndio aina ya melodi ninazopenda. melodi za kupaa na kukupeleka kusikojulikana zikihanikizwa na uhalisia wa mwimbaji. Big up Barnaba. Na yule is the best hit.
Nyimbo zingine nazozipenda ni
1. Dimond - Ukimwona
2. Bella - Nashindwa
3. Msechu - Nyota ing'ae
4. VOA - Salima
Naombeni mnijulishe na watunzi wa hizo nyimbo, au kama ni wao wenyewe.
Nyimbo zingine nazozipenda ni
1. Dimond - Ukimwona
2. Bella - Nashindwa
3. Msechu - Nyota ing'ae
4. VOA - Salima
Naombeni mnijulishe na watunzi wa hizo nyimbo, au kama ni wao wenyewe.