Kama mko nje bakini huko huko NOAH zenu tutawatumia kwa DHL.BARRICK : WAMEUFYTA; HAKUNA PRESS YA GAWIO LA HISA, REPORT YA FEDHA , SOKO LA MITAJI AU MAONGEZI NA TANZANIA, KUNANI HUKO , TUJEZENI
Sisi tuliopo nje ya nchi tulitegemea Tanzania itadondoshwa kama ubua sakata la makinikia kwa jinsi tulivyokuwa tukipata taarifa hapa london;
Tukiamini wasomo wetu wataangushwa ; Tunasahngaa mpaka leo majigambo ya viongozi wa Accacia hawaitishi press apa London ; Kutupa mrejesho wa Biashara, Gawio na Maongezi yanaendeleaje? Siku zinaenda.
website za Barrick , Acacia hakuna taarifa yoyote, email atupati update ; Ofisi zao hapa hakuna taarifa zozote ;
Vipi huko home mmewabana nini? Tunaomba mrejesho tuanzae sherehe.
Ww endelea kufua chupi za mabosi wako wakirejea huko utapata jibu. Hakikisha na hao dog wanaenda clinic kama kawaida.Sisi tuliopo nje ya nchi tulitegemea Tanzania itadondoshwa kama ubua sakata la makinikia kwa jinsi tulivyokuwa tukipata taarifa hapa London. Tukiamini wasomo wetu wataangushwa. Tunasahngaa mpaka leo majigambo ya viongozi wa Accacia hawaitishi press apa London, kutupa mrejesho wa Biashara, Gawio na Maongezi yanaendeleaje? Siku zinaenda.
Website za Barrick, Acacia hakuna taarifa yoyote, email atupati update. Ofisi zao hapa hakuna taarifa zozote.
Vipi huko home mmewabana nini? Tunaomba mrejesho tuanzae sherehe.
Watuache na Noah zetu.Mkuu nyie mlio nje kuleni matunda ya huko,mgao wa huku mtuachie sie kina kalagabhaho
Haijaisha mkuu. Ingekuwa imeisha Mange Kimambi angekuwa kisharudi walikomtuma akapambane na Bashite externally.HIVI ILE VITA YA MADAWA IMEISHA???
HahahahahLumumba siku hizi panaitwa london
Ha ha ha umetisha mkuu kumbe uyo baba yuko lumumba alaf anatuzuga apa eti yuko london..!Lumumba siku hizi panaitwa london
Mfano kwa maeneo ya external,jinari na kituo cha polisi external kuna pub inaitwa london pub!
ILAH TUNA OFISI NZURI SANAUmenifanya nimecheka sana.. View attachment 568685
Kwani pale Ufipa panaitwaje? Kosovo au ...... (tukumbushe).Lumumba siku hizi panaitwa london
Hahahahaaaaaaaa,povu hilo!Kwani pale Ufipa panaitwaje? Kosovo au ...... (tukumbushe).