johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,957
- 141,946
Mjadala unaendelea katika kipindi cha baragumu channel ten juu ya hama hama ya wabunge.
Wachangiaji wanasema hadi sasa ni Nyalandu na Mtulia ambao wameutema ubunge kwa kuhama vyama lakini ukienda katika majimbo yao utagundua kuwa hawajafanya lolote la maana.
Wamedai hata wabunge wanaotarajiwa kuhama wengi ni wale walioishiwa pumzi majimboni na ndio maana hutegemei mbunge kama Bashe ahame CCM kwa sababu anatimiza majukumu yake ipasavyo halikadhalika Sugu wa Mbeya.
Source kipindi cha Baragumu channel ten!
Wachangiaji wanasema hadi sasa ni Nyalandu na Mtulia ambao wameutema ubunge kwa kuhama vyama lakini ukienda katika majimbo yao utagundua kuwa hawajafanya lolote la maana.
Wamedai hata wabunge wanaotarajiwa kuhama wengi ni wale walioishiwa pumzi majimboni na ndio maana hutegemei mbunge kama Bashe ahame CCM kwa sababu anatimiza majukumu yake ipasavyo halikadhalika Sugu wa Mbeya.
Source kipindi cha Baragumu channel ten!