Bangi ni mbaya xana!

Bangi ni mbaya xana!

Joined
Jun 4, 2012
Posts
12
Reaction score
2
Kulikuwa na wavuta bangi wawili ambao walikuwa wanackia njaa xana! katika pilka pilka za kutembea wakaona mti wa maembe wenye maembe mabivu! Wavuta bangi hao hawakuslek wakaanza kupura kupura kupura mvuta bangi mmoja akamwambia mwenzake mwanagu e minadanda nimechoka kupura akadanda vizuri akalishika lile embe na kuona kuwa limeiva akashuka na kumwambia mwezake 2endele kupura limeiva mwezake naye hakukubali kadanda naye na ku2nda badala ale akaanza kupuria maembe megine nani mjinga kati ya hawa?
 
  • Thanks
Reactions: Ctr
Inaonesha wewe sio mtanzania au kama ni mtanzania basi umeandika maneno ya hao walevi sio ya kwako maana hayafahamiki
 
tehe tehe hapa hamna ki2 mleta uzi nae ka mvuta bang mana mara kupura,kudanda----angalia kwenye KAMUSI---
 
Kulikuwa na wavuta bangi wawili ambao walikuwa wanackia njaa xana! katika pilka pilka za kutembea wakaona mti wa maembe wenye maembe mabivu! Wavuta bangi hao hawakuslek wakaanza kupura kupura kupura mvuta bangi mmoja akamwambia mwenzake mwanagu e minadanda nimechoka kupura akadanda vizuri akalishika lile embe na kuona kuwa limeiva akashuka na kumwambia mwezake 2endele kupura limeiva mwezake naye hakukubali kadanda naye na ku2nda badala ale akaanza kupuria maembe megine nani mjinga kati ya hawa?

Hujui Kiswahili na huwezi kuchekesha.Umetokea Rwanda sehemu gani?
 
Ati mtoa kichekesho naye anapiga bangi?
Naomba aje ku2eleza kama anatumia hiyo kitu vinginevyo tutaamini anatumia. Thanks
 
Back
Top Bottom