Wakienda huko watakutana na kero za vibarua wanaofanya kazi miaka na miaka hawaajiriwi wanaenda kuajiriwa watu wengineTunatoa pongezi kubwa kwa Waziri Mkuu kuweza kufichua madudu ya Bandari ya Dar, ushauri tu hebu wapitie Na Bandari ya Tanga, nayenyewe ni jipu kubwa