Balozi wa zimbabwe alipo msalimia Rais huku amepiga magoti .
Ni kama kitu cha ajabu lakini kina maana yake
Balozi wa zimbabwe alipo msalimia Rais huku amepiga magoti .
Ni kama kitu cha ajabu lakini kina maana yake
Nonsense. Twambie ni wapi watu walipiga magoti bei ya vitu ikapungua. Au hujui kwamba baadhi ya makabila mengi Afrika wanawake wanasalimia kwa kupiga magoti!Hiyo hali imepunguza bei ya umeme au mafuta?
Tunaililia Zanzibar sisiBalozi wa zimbabwe alipo msalimia Rais huku amepiga magoti .
Ni kama kitu cha ajabu lakini kina maana yake
Tunaililia Zanzibar sisi
Ni mnyakyusa nini? Hizo ni heshima za wanawake kwa vichwa...Balozi wa zimbabwe alipo msalimia Rais huku amepiga magoti .
Ni kama kitu cha ajabu lakini kina maana yake
Mkuu habari ya ITV usiku huuu