Baloon inauzwa

mnozya

JF-Expert Member
Feb 25, 2009
207
44
Nafurahi kuwatangazia kuwa Baloon Cresta, 4 Cylinder iko katika hali nzuri, inatumika kuendea ofisini na kurudi. Inatumiwa na my wife kwa matumizi ya nyumbani tu.

Matairi yote ni mapya.

Bei ya kuanzia kubargain ni TZS 5.5 Million Ukomo wa kubargain kwa mtu ambaye ni mnunuzi wa kweli ni TZS 4.5 Million.

Sababu ya kuuza
Nanunua gari aina nyingine ili nibadilishe RADHA.

Mawasiliano
0712 227413
 
Mkuu mbona maelezo hayajitoshelezi?
Tunaomba utuwekee vifuatavyo;-
-picha ya gari yenyewe.
-gari imetengenezwa mwaka gani?
-gari imetembea km ngapi?
 
Nafurahi kuwatangazia kuwa Baloon Cresta, 4 Cylinder iko katika hali nzuri,

Well and good....ehee!

inatumika kuendea ofisini na kurudi.

Good......!
Inatumiwa na my wife kwa matumizi ya nyumbani tu.
Which is which now?

Matairi yote ni mapya.
Okey!

Bei ya kuanzia kubargain ni TZS 5.5 Million Ukomo wa kubargain kwa mtu ambaye ni mnunuzi wa kweli ni TZS 4.5 Million.

Unafikiri kuna kichaa atakuoffer 5.5mil wakati....kunapossibility ya kununua kwa 4.5m?......you should have kept the minimum price to your self and offered only serious buyers.........mkuu umachinga huuwezi kabisa!
 
Well and good....ehee!



Good......!

Which is which now?

Okey!



Unafikiri kuna kichaa atakuoffer 5.5mil wakati....kunapossibility ya kununua kwa 4.5m?......you should have kept the minimum price to your self and offered only serious buyers.........mkuu umachinga huuwezi kabisa!

Kimsingi 4.5 ni fixed price ambayo ni fare and reasonable kwa sababu sisi WTZ tunapenda sana "nipunguzie" ndiyo maana nimeweka hiyo ILA KIUTU UZIMA NI KWAMBA 4.5 HAISHUKI HATA SENTI.

Details nyingine nitaziweka kesho nikiziangalia hom, maana at the moment anayo maifu but inetengenezwa kati ya 1992 au 1993 NA IMEKUWA REGISTERED NCHINI KATI YA 1994 au 1993 habari ya KM mpaka kesho ILA SIYO HOJA MAANA MTU ANAWEZA AKARUDISHA NYUMA (ILA MIE SIFANYI HIVYO KWA SABABU NAIUZA IN A GOOD FAITH NA NDIYO MAANA PRICE YAKE IKO FARE AND REASONABLE.
 
Mkuu ukishauza hiyo njoo uchukue kwangu Corolla ya 1999 imetumika mwaka mmoja tu. ukija na 6.5m nakuachia ila ukiongea vizuri tutaangalia.
 
Mkuu ukishauza hiyo njoo uchukue kwangu Corolla ya 1999 imetumika mwaka mmoja tu. ukija na 6.5m nakuachia ila ukiongea vizuri tutaangalia.

It is fine, ila napenda kwenda vertical na si downward si unajua tena mkuu mambo ya RADHA? Kutoka kwenye PUTO kwenda kwenye corolla.

Ila nitajitahidi pia kuwapasha habari wengineo
 
Mkuu ukishauza hiyo njoo uchukue kwangu Corolla ya 1999 imetumika mwaka mmoja tu. ukija na 6.5m nakuachia ila ukiongea vizuri tutaangalia.

mkuu nimependezwa na hiyo offer ya Corolla 1999, naomba picha tafadhali.
 
Back
Top Bottom