Hivi ninyi mlifikiri Kachenji ana ubavu wa kumshinda Mkono jimboni Musoma Vijijini, kwa lipi alilonalo au analoweza kulifanya kumshinda Mkono???? Mkono ampe rushwa ???? Ama kweli siasa ni mchezo mchafu. Huu mchezo umechezwa na CHADEMA. Ukitaka zaidi nitafute. Na yule anayesema Mkono kaifilisi TIRDO hamjui vizuri Mkono na uwezo wake. Huna hoja bwana, nyamaza.