Hizo Bajaj zina depreciate kwa 50% p.a, umetumia mwaka 1 na miezi 3, depreciation kwa mwaka 1 na miezi 3 ni Shs 3,125,000, assuming ulininuna kwa Shs 5,000,000 baada ya mwaka 1 na miezi 3 unatakiwa uize kwa shs 1,875,000.
Sasa wewe hiyo bei ya kuuzia Shs 3,600,000 umeitoa wapi?