Dela
Member
- Aug 25, 2013
- 78
- 13
Habari za Leo wakuu? Napenda nichukue fursa hii kuinadi bidhaa tajwa hapo juu. Ni pikipiki aina ya Boxer Bm 150. Inauzwa Tsh 1,400,000/=, Sababu za Kuuzwa ni Longo Longo zimezidi kutoka kwa Dereva maana inafanya kazi ya Boda boda. Piki piki hii si mpya, ila mpaka sasa inauzwa ikiwa nzima baada ya kubadilishwa piston na mfumo mzima wa Injini, Matairi yote mazima na bado inafanya kazi kama Boda boda.
Maongezi yapo. Kama unahitaji tafadhali ni PM, then tutaongea Biashara.
Maongezi yapo. Kama unahitaji tafadhali ni PM, then tutaongea Biashara.