Hiyo sehemu ni karibu na chuo cha maktaba, njia ya kwenda DSM.Mkuu Mbalamwezi-nimejifunza kutoka kwako,hivi mtu amekwambia ukubwa ni karibu nusu acre,bado unamshambulia kuwa ameshindwa kukadiria ukubwa unataka kwa hatua?haya mkuu ni hatua 70 kwa 40-naomba usiniulize kama ni za mtoto au mzee-ahaaaaaaaaaaha.Ni KM 6 kutoka Bagamoyo mjini.Sijawahi kusikia kiwanda pale. Thx.
Ardhi inauzwa Bagamoyo, wastani wa dakika 10 kwa gari kutoka Bagamoyo mjini,upande ambao si wa bahari.
ukubwa ni nusu acre na zaidi kidogo.Sehemu ni ya mchanga na inafaaa kwa kujenga tu.Bei 2.9M TZS.
Eneo linaitwaje? Tuma mawasiliano
Embu chunguza kwanza isije ikawa uwanja upo kwenye ifadhi ya kiwanda cha gas. Maana tusikia sikia tu kiwanda cha gas kitajegwa bagamoyo