Eskimi ndio wapi???
Mkuu social network zipo kwa ajili ya kaz mbali mbali, watumiaji kila mtu analengo lake...
Sasa wewe unatakiwa ufate lililokupeleka mengineyo achana nayo
Wanajukwaa habari za weekend? I hope mpo poa. Me leo nataka tuwekane sawa kuhusu hiyo mitandao miwili,kuna kidemu nilikikuta eskimi nikakichokoza "mambo" kakajibu "poa" ,pande zipi "mikocheni" nikasign out. Kuja kurudi nakutana na text demu kajitangazia biashara na number kanipa sema "dau" lake kubwa. Duh ckujua kumbe yale ndo mapango ya biashara chafu hapa bongo....Kwa staili hii twaangamia jamani, wadauo wa papuchi kama unaitaka na umejipanga nipm uchukue namba
Wengine ni mashoga!