eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Tanzania itashuhudia rais wa mioyo akiapishwa .
Tanzania itashuhudia chama kipya cha siasa pamoja na washirika wake wakiingia madarakani.
Matarajio:
Maisha ya watu hasa wa vijijini kujiona na wao ni watanzania
Elimu bora na bure chekechea mpaka chuo kikuu
Hospitali zetu kua za kisasa vifaa tiba madawa hospitalini ya kutosha
Kilimo chetu kua cha kisasa
Wafugaji kufurahia mifugo yao
Viwanda kujengwa na vilivyokufa kuanza kufanya kazi
Maji safi na salama kila kijiji
Na hili linawezekana kwa kua tuna watu wanaotamani kuona maisha ya watu wa tanzania yakiwa bora na hii itasababisha uchumi wetu kukua kwa asilimia 11 ndani ya kipindi cha miaka mitano
Hii ni mikakati ndani ya miaka _5 ya uongozi wa lowasa na ukawa
Tunataka tuwsonyeshe namna ya kuongoza na kusimamia rasilimali za watanzania ili ziwanufaishe wao kwanza
Rafiki zetu wakubwa ni mama lishe baba lishe machinga bodaboda wakulima na wafugaji .
Hawa ndio rafiki zetu ole wake atakae wanyanyasa atakiona na mtema kuni.
Tanzania itashuhudia chama kipya cha siasa pamoja na washirika wake wakiingia madarakani.
Matarajio:
Maisha ya watu hasa wa vijijini kujiona na wao ni watanzania
Elimu bora na bure chekechea mpaka chuo kikuu
Hospitali zetu kua za kisasa vifaa tiba madawa hospitalini ya kutosha
Kilimo chetu kua cha kisasa
Wafugaji kufurahia mifugo yao
Viwanda kujengwa na vilivyokufa kuanza kufanya kazi
Maji safi na salama kila kijiji
Na hili linawezekana kwa kua tuna watu wanaotamani kuona maisha ya watu wa tanzania yakiwa bora na hii itasababisha uchumi wetu kukua kwa asilimia 11 ndani ya kipindi cha miaka mitano
Hii ni mikakati ndani ya miaka _5 ya uongozi wa lowasa na ukawa
Tunataka tuwsonyeshe namna ya kuongoza na kusimamia rasilimali za watanzania ili ziwanufaishe wao kwanza
Rafiki zetu wakubwa ni mama lishe baba lishe machinga bodaboda wakulima na wafugaji .
Hawa ndio rafiki zetu ole wake atakae wanyanyasa atakiona na mtema kuni.