Natumai mu wazima kabisa. Nilileta uzi wangu hapa wa kupata mume mwenye hitaji, lakini mpaka sasa bado sijapata mwenye upendo wa kweli. Awe na umri kati ya 34-40. Karibu pm
Jaribu tu kuzoea maisha ya kuishi bila ndoa. Ni ngumu lakini ndio hakuna namna. Hakuna mwanaume aliye single kwenye umri huo unaotaka. Hivyo usiendelee kupoteza muda wako na muda wa watu wengine.
Jaribu tu kuzoea maisha ya kuishi bila ndoa. Ni ngumu lakini ndio hakuna namna. Hakuna mwanaume aliye single kwenye umri huo unaotaka. Hivyo usiendelee kupoteza muda wako na muda wa watu wengine.
Natumai mu wazima kabisa. Nilileta uzi wangu hapa wa kupata mume mwenye hitaji, lakn mpaka sasa bado sijapata mwenye upendo wa kweli. Awe na umri kati ya 34-40. Jaribu pm
Natumai mu wazima kabisa. Nilileta uzi wangu hapa wa kupata mume mwenye hitaji, lakn mpaka sasa bado sijapata mwenye upendo wa kweli. Awe na umri kati ya 34-40. Jaribu pm
Ni vizuri kwamba unahitaji mume mwenye vigezo fulani. Please naomba uni pm tufahamiane zaid, nitakua na sifa unazohitaji na natafuta mchumba kama wewe.
Natumai mu wazima kabisa. Nilileta uzi wangu hapa wa kupata mume mwenye hitaji, lakini mpaka sasa bado sijapata mwenye upendo wa kweli. Awe na umri kati ya 34-40. Karibu pm